Saturday, December 7, 2013

UPEPO MKALI WAEZUA PAA LA SHULE YA MSINGI LUGANGA

1 892ea
Wanafunzi wa shule ya msingi Luganga kata ya Ilolompya Tarafa ya Pawaga Mkoa wa Iringa, wakiangalia sehemu ya paa la chumba cha darasa lililo ezuliwa na upepo mkali hivi karibuni.
2 e40f4
Nyumba ya Mwalimu
4 10483
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Luganga wakicheza nje ya Darasa lililo ezuliwa
5 ff967
Wanafunzi Shule ya msingi Luganga wakiendelea na Masomo ndani ya Darasa lililo ezuliwa na Upepo mkali hivi karibuni,Picha na Said Ng'amilo.(HD)

0 comments: