GARI aina ya Suzuki namba SM 4726 mali ya Manispaa ya Kinondoni imegongana uso kwa uso jioni hii na Bajaj yenye namba za usajili T 761 CKR kwenye bonde linalounganisha Kinondoni na Magomeni, Jijini Dar es Salaam.
PICHA: RICHARD BUKOS NA ISSA MNALLY GPL
0 comments:
Post a Comment