![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-ash3/936909_375406139244340_960796247_n.jpg?width=650)
Stori:Chande Abdallah
WIKI hii kwenye Funguka na Risasi tunaye mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Joseph Haule, ‘Profesa Jay’ ambaye anafunguka juu ya bifu kati ya Judith Wambura ‘Jide’ na Mkurugenzi wa Vipindi na Utafiti wa Clouds Media, Ruge Mutahaba.
Profesa Jay naye ametajwa katika sakata hilo kutokana na kushirikishwa katika wimbo wa Joto Hasira ambao wengi wameutafsiri kuwa na vijembe kwa Ruge.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiA6K0djJhfIqoJpzbAmrPyNYQjXqtGm4rQKybEsYcGp_OfU-fVLo_BoAq62unXZVi5VKRxp6R1oTwK-2pYBCK96Q9DpM12z0_w_ysk99d48k0ir1UwFR331Imn2GcGKEt7hpUVEfSR-os/s1600/jay+jide.jpg?width=650)
Profesa Jay: Kwanza nianze kusema kuwa mimi sina upande wowote ambao ninaweza kuusimamia, sipo kwa Ruge wala kwa Jide.
Funguka: Kumekuwa na…
0 comments:
Post a Comment