Thursday, April 25, 2013

MTU MMOJA ADAIWA KUFA MAJI COCO BEACH MCHANA HUU


Mwili wa marehemu ukiwa umefunikwa Khanga na wasamaria wema katika fukwe za Coco Beach....
 
Taarifa  zilizotufikia  hivi  punde  zinadai  kuwa  mtu  mmoja  (Pichani)  ambaye  bado  hajafahamika  mara  moja  amekutwa  amekufa  maji  Coco-Beach......

Tunaendelea  kufuatilia   undani  wa  habari hii......
Imetolewa  na Thimothy Shao Koko
 
Mwili ukiwa katika machela

 
Mwili wa Marehemu ukiwa umefunikwa
 
Wasalia wema…
Mwili ukiwa katika machela
 
Mwili wa Marehemu ukiwa umefunikwa
 
Wasalia wema wakiusogeza mwili wa marehemu pembezoni mwa Bahari

Related Posts:

  • DIAMOND: NIMEMTUNDIKA MIMBA PENNY Diamond akipozi na Penny. Kwa mujibu wa Diamond, ni kweli yeye na Penny ambaye ni presenta wa Kituo cha Runinga ya DTV wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza kabla hata ya ndoa waliyopanga siku zijazo. Diamond ali… Read More
  • AIBU ILIYOJE! MKE WA MTU ABAMBWA ‘AKIBANJUKA’ NA SHEMEJI YAKE Na Dustan Shekidele, Morogoro MWANAMKE aliyefahamika kwa jina la Bahati ambaye ni mke wa Mrisho Juma, hivi karibuni alikumbwa na aibu ya aina yake baada ya kunaswa … Read More
  • JB ATOA SOMO KWA WATANZANIA Na Mwandishi Wetu BONGE la Bwana, Jacob Steve ‘JB’ amewataka Watanzania kuwa na wivu wa kimaendeleo ili kuweza kufika mbali kisanaa kwa kuiga mazuri. JB alifunguka hayo muda mfupi baad… Read More
  • SANDRA AITETEA NDOA YAKESandra alifunguka hayo kupitia Stori 3 ambapo alisema taarifa hizo ndizo zilimpa hata mkosi kwani zilipoanza kuvuma ndiyo kipindi ambacho alipata ajali ya gari. “Sijawahi kuachwa, mimi pamoja na familia yangu tunafurahia … Read More
  • MJADALA: ZIDANE, INIESTA NANI ZAIDI? MJADALA: ZIDANE, INIESTA NANI ZAIDI? ZINEDINE Zidane ni mmoja wa wachezaji wenye kipaji cha aina yake waliowahi kucheza soka akiwa na Ronaldo De Lima. Akiwa na umri mdogo, Zidane alikuwa na uwezo mkubwa wa kuongoza ma… Read More

0 comments: