Thursday, April 25, 2013

MTU MMOJA ADAIWA KUFA MAJI COCO BEACH MCHANA HUU


Mwili wa marehemu ukiwa umefunikwa Khanga na wasamaria wema katika fukwe za Coco Beach....
 
Taarifa  zilizotufikia  hivi  punde  zinadai  kuwa  mtu  mmoja  (Pichani)  ambaye  bado  hajafahamika  mara  moja  amekutwa  amekufa  maji  Coco-Beach......

Tunaendelea  kufuatilia   undani  wa  habari hii......
Imetolewa  na Thimothy Shao Koko
 
Mwili ukiwa katika machela

 
Mwili wa Marehemu ukiwa umefunikwa
 
Wasalia wema…
Mwili ukiwa katika machela
 
Mwili wa Marehemu ukiwa umefunikwa
 
Wasalia wema wakiusogeza mwili wa marehemu pembezoni mwa Bahari

Related Posts:

  • Alphonce Mawazo Meneja Kampeni wa Mgombea wa Chadema Kalenga, Achukua Nafasi ya Lema Alphonce Mawazo, Kamanda wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Picha na Arusha Times) Arusha255 inaweza kuthibitisha uteuzi mpya wa Ndugu Alphonce Mawazo kama meneja kampeni za kumnadi mgombea wa Chama cha Demokrasia … Read More
  • MREMBO AFARIKI GHAFLA GUEST ARUSHA MREMBO mmoja ambaye alihu-dumu kwenye nyumba ya kulala wageni na baa (jina tunalo) iliyopo Tengeru, wilayani Arumeru, mkoani Arusha, Blandina Michael (33) amekutwa amekufa kwenye moja ya vyumba vya nyumba hiyo huku chan… Read More
  • Al Ahly watua Dar na vyakula, maji WAPINZANI wa Yanga katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Al Ahly ya Misri wameonyesha wamepania kuhakikisha hawapotezi mchezo wa Jumamosi baada ya kutua nchini na maji na baadhi ya vyakula ambavyo watapikiwa wache… Read More
  • SLAA AWANG'AKIA VIONGOZI WA SERIKALI!! Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa amesema tatizo la umaskini linalowakabili Watanzania, linatokana na viongozi walioko madaraka kutokuwa waadilifu. Alisema Tanzania ni nchi iliyojaaliwa rasilimali nyingi… Read More
  • MAJAMBAZI WAUWAWA ARUSHA Na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha Watu wanne ambao bado hawajafahamika wanaume wanaokadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 25 hadi 35 wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wameuawa baada ya kupigwa risasi na askari Polis… Read More

0 comments: