This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Friday, April 12, 2013

REEBOK WAMTOSA RICK ROSS KUTOKANA NA MASHAIRI YAKE YANAYOSIFIA UBAKAJI



Baada ya wiki kadhaa za ukosoaji na maandamano, kampuni ya Reebok imesitisha kufanya kazi na Rick Ross kutokana na mashairi yake yenye kashfa ya kusifia vitendo vya ubakaji.
Wimbo wa Rick Ross unaodaiwa kuwa na mashairi ya kupromote ubakaji unaitwa “U.O.E.N.O.”

Katika maelezo iliyoutumia mtandao wa TMZ, Reebok imesema:

“Reebok holds our partners to a high standard, and we expect them to live up to the values of our brand. Unfortunately, Rick Ross has failed to do so.

While we do not believe that Rick Ross condones sexual assault, we are very disappointed he has yet to display an understanding of the seriousness of this issue or an appropriate level of remorse.”
Rick-Ross-Gets-Dumped-By-Reebok-4

Kwenye “U.O.E.N.O,” Ross anarap: “Put molly all in her champagne, she ain’t even know it. I took her home and I enjoyed that, she ain’t even know it.”

Mapema mwezi huu Ross aliomba radhi ya juu juu kutokana na mashairi yake kwa kutweet: “I dont condone rape. Apologies for the #lyric interpreted as rape. #BOSS”

Baada ya masaa mawili alijaribu kuomba msamaha tena: “Apologies to my many business partners, who would never promote violence against women. @ReebokClassics @ultraviolet”

AIBU: MKE WA MTU ANASWA LIVE AKIFANYA MAPENZI NDANI YA GARI MAENEO YA MWENGE-DAR




KUFUATIA vitendo vya usaliti wa ndoa, uasherati, ufuska na ukiukwaji wa maadili ya Kitanzania kwa wanandoa, wiki iliyopita Ijumaa iliendelea na Operesheni Fichua Maovu kwa kuzunguka jijini Dar usiku wa manane na kunasa tukio la mke wa mtu akifanya uzinzi ndani ya gari.


Kabla ya kufanya operesheni hiyo, waandishi  walitaarifiwa kwamba Wilaya ya Kinondoni jijini Dar ndiyo inayoongoza kwa wake na waume  za watu kufanya vitendo vya ngono kwenye magari.




Maeneo yaliyodaiwa kwamba wazinzi hao hupenda kuyatumia ni Coco Beach, Leaders Club, Mlimani City na sehemu kubwa ya vitongoji vya Sinza na Mwenge, Dar.

Mbali na waume na wake za watu, wengine wanaotajwa kufanya vitendo vya ngono ndani ya magari ni mastaa wakubwa ambao wanaogopa kwenda kukodi vyumba mahotelini na gesti wakihofia watajulikana kutokana na umaarufu wao.
 Jumatatu ya Aprili Mosi, mwaka huu, waandishi wetu walianza mchakato wa kutembelea vitongoji walivyoezwa kwamba, watu hususan wake na waume za watu hupenda kuvitumia kufanyia ufuska.

Waandishi wetu walitinga kwenye Ufukwe wa Coco uliopo Oysterbay, Dar ambako walishuhudia wasichana wengi waliokuwa wakifanya biashara ya kujiuza ‘machangudoa’ katika viunga hivyo.



Mbali na wasichana hao, pia kulikuwa na vibaka wengi waliokuwa wakiwalinda machangudoa hao ili wasipate matatizo.

Pia, wanaume wengi walikuwa wakifika na wanawake ndani ya magari yao na kupozi kwenye maegesho, wengi wao hawakuonekana kama ni watu na wake zao.

 Hata hivyo, waandishi walibaini kwamba magari mengi yanayotumiwa katika eneo hilo ni yale yenye vyoo vyeusi ‘tinted’ hivyo ni vigumu kujua kinachoendelea ndani yake.

Kwa ujanja, waandishi wetu walibaini kwamba ‘pea’ nyingine zilikuwa zikifanya vitendo vya ‘kudendeka’ na wengine kufika mbali zaidi lakini walishindwa kuwavaa kutokana na usalama mdogo katika eneo hilo.


Waandishi  wetu walihamishia mtego wake Leaders Club, Kinondoni mida ya saa 8:05, baada ya kupiga misele ya hapa na waandishi walifanikiwa kumbamba mmoja wa wazinzi.

Waandishi walitulia baada ya kuliona gari aina ya Toyota Land Cruiser  likiwa katika eneo la maficho nje ya viwanja hivyo.

Gari hilo lilikuwa likitikisika kuonesha kwamba mchezo ulikuwa ukiendelea ndani yake.

Wakati waandishi wakijipanga kulivamia, ghafla waliokuwa ndani walishtuka na kupozi kwa muda.

Hata walipoachiwa ili waendelee, machale yaliwacheza na kuwasha gari kisha kuondoka kwa kasi.


Pamoja na kulikosakosa tukio hilo, waandishi hawakukata tamaa, kuanzia Jumatatu hadi Jumapili waliendelea na utaratibu wa kutembelea viwanja husika.

Jumapili iliyopita baada ya kutembelea viwanja vyote kusaka ‘wahalifu hao’, hatimaye mtego ulinasa.


‘Patroo’ ikiwa kazini maeneo ya Mwenge, Dar jirani kabisa na hoteli moja inayopata umaarufu mkubwa siku za hivi karibu, ghafla gari aina ya Toyota Corona likiwa limepaki kwenye eneo la giza, chini ya mti lilikuwa likitikisika kuonesha kwamba kulikuwa na watu waliokuwa wakifanya ngono.

Safari hii, bila kufanya makosa, waandishi wetu waliwasogelea ambapo na wao hawakuonekana kujali wapita njia....

UNYAMA: BINTI ANYONGWA KWA KUTUMIA SURUALI YAKE


Tukio hili la kikatili limetokea huko Brazil (Cuiaba public square). Inasemekana kuwa binti huyo mwenye miaka 22 aliuawa na watu kisha wakamning'iniza kwa kutumia suruali yake aina ya jeans ili ionekane kama alijinyonga.

Wazazi wa binti huyo wanamshuku 'x-boyfriend' wake kuwa muhusika wa tukio hilo kwani hawakua na maelewano baina yao siku kadhaa kabla ya tukio.

KAMPUNI YA NDEGE YA FLIGHTLINK YAFANYA KWELI MAONYESHO YA UTALII YA COTMM 2013 JIJINI BEIJING‏

mu2
Mkurugenzi wa Kampuni ya ndege ya Flightlink Capt. Munawer Dhirani akiwa katika picha ya pamoja na na mmoja wa washiriki wa maonyesho hayo kutoka nchini humo.
mu3
Mkurugenzi wa Kampuni ya ndege ya Flightlink Capt. Munawer Dhirani akizungumza na wageni mbalimbali waliomtembelea meza yake kwenye banda la Tanzania katika…
mu2
Mkurugenzi wa Kampuni ya ndege ya Flightlink Capt. Munawer Dhirani akiwa katika picha ya pamoja na na mmoja wa washiriki wa maonyesho hayo kutoka nchini humo.
mu3
Mkurugenzi wa Kampuni ya ndege ya Flightlink Capt. Munawer Dhirani akizungumza na wageni mbalimbali waliomtembelea meza yake kwenye banda la Tanzania katika maonyesho ya utalii ya COTMM 2013 jijini yanayofanyika jijini Beijing China.
mu5
Mkurugenzi wa Kampuni ya ndege ya Flightlink Capt. Munawer Dhirani akimkabidhi jarida maalum la kampuni yake ya Flightlink ofisa wa ubalozi wa Tanzania nchini China wakati alipotembelea katika banda la Tanzania.

Monday, April 8, 2013

some clip kajala parts


SHEREHE YA KUMKARIBISHA KAJALA URAIANI NI LAANA TUPU....WADAU WAHOJI, ANASHEREHEKEA NINI WAKATI MUMEWE ANANYEA NDOO GEREZANI??


"Wanaume tumeumbwa mateso, bonge la party huku mumewe  anafia gerezani...."  Hivi  ndivyo  alivyofunguka  mdau  akielezea  hisia  zake  kuhusu  party  hii  ya  kufuru  iliyofanywa  na  Kajala  Msanja  wakati  mumewe  akiozea  gerezani.

Pamoja na mateso yote waliyoyapa  kajala   na  mumewe wakati  wakisaka  maisha kwa  pamoja  na  hatimaye  kujikuta  wakiingia  mahakamani, leo hii MKE wa  mtu  amesahau  yote  na  kuamua kufanya party ya kufuru ..... 
Je yule aliyefungwa ni  nani  yako KAJALA???. Si alikuwa mumeo jamani ?  Je akisikia wewe wafanya kufuru mtaani wakati  yeye  akiwa  bado  ananyea  ndoo  gerezani  atakuelewaje ???. 
Ni  bora  hiyo  pesa mnayoitumia kwa fujo hapo, ungeenda gerezani na kumpelekea  chochote  mumeo  na  MUNGU  ANGEKUBARIKI  MARADUFU.....

PICHA  ZA  SHEREHE  YA  LAANA



wema na kajala




wema, dj fetty na kajala..

MWANAMKE AVULIWA NGUO ZOTE BAADA YA KUINGIA STENDI YA MABASI AKIWA NA SKETI FUPI NYEPESI

 
 Biahara  zote  zilisimama  kwa  muda  katika  stendi  kuu ya mabasi  ya  Bomet  nchini  kenya wikiendi  hii  baada  ya  kundi  kubwa  la  wanaume  kumvamia  mwanamke  mmoja  aliyekuwa  amevaa  kingua  kifupi  na  kisha  kumvua  huku  wengine  wakimchezea  nyeti  zake.....
Mwanamke  huyo ambaye inadaiwa  alienda  katika  stendi  hiyo  kufanya  booking  ya  basi,alikutwa  na  kisanga  hicho  baada  ya  kuvamiwa  na  kundi  kubwa  la  wapiga  debe  na  vibaka  ambao  walianza  kwa  kumzomea  na  kumrushia  makopo  ya  maji......

Kwa  mujibu  wa  shuhuda  wa  tukio  hilo,sakata  hilo  lilichukua  takribani  dakika  15  za  kumzomea  na  kumtukana  wakiwa  wamemzunguka  kabla  ya  kumvua  nguo  zake.....

"Walimzomea  na  kumtukana  vibaya  huku  wakiwa  wamemzingira.Juhudi za  wanawake  wasamaria  wema  kumuokoa  zilikwama  kwa  kuwa  kundi  lilikuwa  kubwa  na  wao  walikuwa  wanaogopa  kufanyiwa  hivyo"...Alisema  shuhuda  huyo

Mbali  na  shuhuda  huyo,Bwana  Sang  naye  analielezea  tukio  hilo  kwa  kudai  kuwa  ile  sketi  ilikuwa  ni  zaidi  ya  fupi  na  pia  ilikuwa nyepesi  na  ndani  ndani  hakuwa  na  kitu, hali  iliyosababisha  wapiga  debe  hao  wamvae  na  kumvua.....

Bwana  Sang  anadai  kuwa  kesi  nyingi  za  ubakaji  zimekuwa  zikisababishwa  na  wanawake  wenyewe  kutokana  na  mavazi  yao  wanayoyavaa....

Baada  ya  tukio  hilo  kupamba  moto, polisi  walifika  japo  walichelewa  na  hatimaye  kufanikiwa  kumwokea  mrembo  huo  mikononi  mwa  vibaka  hao....

Kutokana  na  tukio  hilo,shirika  la  maendeleo  ya  wanawake  limelaani  vibaya  tukio  hilo  na  kuahidi  kuchukua  hatua  kali  zaidi  endapo  udhalilishaji  huo  utaendelea  na  kufumbiwa  macho....