Saturday, June 1, 2013

BENDI YA AKUDO IMPACT YAFANYA MAKAMUZI KATIKA UKUMBI WA MANGO GARDEN KINONDONI

Kaimu Prezidaa wa Akudo, Tarcis Masela (katikati) akikamua.
Makamuzi yakiendelea.
Mfanyabiashara Pius Ruta ‘Mzee wa Pamba’ (kushoto) na mwanamuziki wa African Stars ‘Twanga Pepeta’ Hamis Amigo ‘Amigoras’ wakiwa kwenye…
Kaimu Prezidaa wa Akudo, Tarcis Masela (katikati) akikamua.
Makamuzi yakiendelea.
Mfanyabiashara Pius Ruta ‘Mzee wa Pamba’ (kushoto) na mwanamuziki wa African Stars ‘Twanga Pepeta’ Hamis Amigo ‘Amigoras’ wakiwa kwenye onesho hilo.
Mzee wa Pamba ‘akimtakasa’ Allain Kabasele ‘Mtoto wa Pepe Kalle’ kwa noti.
Bendi ya Akudo Impact ‘Vijana wa Masauti’ usiku wa kuamkia leo imeendeleza makamuzi kwenye Ukumbi wa Mango Garden jijini Dar na kuendelea kukonga nyoyo za mashabiki wake.
PICHA NA RICHARD BUKOS / GPL

DIAMOND MUSICA YAFANYA KWELI

Posted by GLOBAL on June 1, 2013 at 3:38pm 1 Comment
Prezidaa wa bendi hiyo, Liver Hassan ‘Sultan’ (katikati) akiongoza kufanya makamuzi.
Mmoja wa wanenguaji wa Diamond Musica akicheza staili ya mutwash ambayo hutumiwa na bendi hiyo.
Bendi ya muziki wa dansi ya Diamond Musica usiku wa kuamkia leo imefanya makamuzi ya nguvu kwenye Ukumbi wa Mzalendo Pub Kijitonyama jijini Dar es Salaam.

0 comments: