Mfanyabiashara
Pius Ruta ‘Mzee wa Pamba’ (kushoto) na mwanamuziki wa African Stars
‘Twanga Pepeta’ Hamis Amigo ‘Amigoras’ wakiwa kwenye…
Mfanyabiashara
Pius Ruta ‘Mzee wa Pamba’ (kushoto) na mwanamuziki wa African Stars
‘Twanga Pepeta’ Hamis Amigo ‘Amigoras’ wakiwa kwenye onesho hilo.
Bendi ya Akudo Impact ‘Vijana wa Masauti’ usiku wa kuamkia leo
imeendeleza makamuzi kwenye Ukumbi wa Mango Garden jijini Dar na
kuendelea kukonga nyoyo za mashabiki wake.PICHA NA RICHARD BUKOS / GPL
0 comments:
Post a Comment