Prezidaa wa bendi hiyo, Liver Hassan ‘Sultan’ (katikati) akiongoza kufanya makamuzi.
Mmoja wa wanenguaji wa Diamond Musica akicheza staili ya mutwash ambayo hutumiwa na bendi hiyo.
Bendi ya muziki wa dansi ya Diamond Musica usiku wa kuamkia leo
imefanya makamuzi ya nguvu kwenye Ukumbi wa Mzalendo Pub Kijitonyama
jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment