Saturday, June 1, 2013

REDD'S MISS TABATA 2013 APATIKANA

Miss Tabata Dolizi Moleo (Katikati) Upendo Lemana mshindi wa tatu Rechoul Musa.

Mwenyekiti wa kamati ya  Miss Tanzania Prashent Pater (Kushoto) akiongea na Hoice Temu ambae alishawahi kuwa Miss Tanzania.…
 Miss Tabata Dolizi Moleo (Katikati) Upendo Lemana mshindi wa tatu Rechoul Musa.
 Mwenyekiti wa kamati ya  Miss Tanzania Prashent Pater (Kushoto) akiongea na Hoice Temu ambae alishawahi kuwa Miss Tanzania.
Wanamuziki  twanga pepeta Dogo Rama  (Kushoto) na  Ruiza Mbutu wakiimba.
Baadhi ya mashabiki waliojitokeza kushuudia kinyanganyiro hicho.
Mkuu wa itifaki wa kamati ya Miss Tanzania Albart Makoe akiwatambulisha wageni wenzake.
Baadhi ya washiriki wakipita na vazi la ufukweni..
Washiriki wote wakiwa katika picha ya pamoja.
Washiriki waliofanikiwa kuingia tano bora wakipozi ili kupigwa picha.
Majaji wakiwa katika kazi kubwa ya kumpata mshindi.
Jana usiku katika ukumbi wa Da’ west  uliopo Tabata jijini Dar es salaam kinyanganyilo cha kumtafuta Mrembo wa kitongoji hicho kilifanyika na mshiriki Dolizi Moleo aliibuka kidedea kwakuwapiku washiriki wenzake 16 kwa kuwa Redds Miss Tabata 2013,
Katika kunogesha burudani Bendi ya muziki wa dansi ya African Star Twanga Pepeta ilitumbuiza kabla  na baada ya shindano hilo kumalizika.
PICHA:  ISSA MNALLY
 

0 comments: