Saturday, June 1, 2013

KIGORI YAZINDULIWA SUNSIRO

Wanenguaji wa kike wa Bendi ya Extra Bongo wakifanya yao jukwaani kusindikiza uzinduzi huo.
 Wanenguaji wa kiume wa Extra Bongo wakionesha mautundu yao.
Msanii mahiri wa ngoma za asili na sanaa za maonesho, One Star…
 Wanenguaji wa kike wa Bendi ya Extra Bongo wakifanya yao jukwaani kusindikiza uzinduzi huo.
Wanenguaji wa kiume wa Extra Bongo wakionesha mautundu yao.
Msanii mahiri wa ngoma za asili na sanaa za maonesho, One Star akionesha utundu wa kucheza na nyoka stejini.
Mmoja kati ya vigori watatu waliojitokeza ukumbini humo akionesha umahiri wa kulisakata sebene.
Majaji wa shindano hilo, John Kitime, Maimatha Jesse na Mussa Husein wakifuatilia shoo ya baadhi ya washiriki (hawapo pichani).
Kigori huyu aligeuka kivutio kikubwa ukumbini humo kwa jinsi ‘alivyochetuka’ na kuonesha manjonjo ya kufa mtu jukwaani.
Mshiriki mwingine wa Kigori 2013 akionesha vitu vyake jukwaani.
SHINDANO la kumtafuta Kigori wa Tanzania 2013 limezinduliwa rasmi jana katika Ukumbi wa SunSiro, Ubungo, jijini Dar ambapo ndani ya ukumbi huo walipatikana warembo watatu ukumbini humo.
Warembo hao wanatarajia kuungana na wenzao ambao wanatarajiwa kufanyiwa usahili hivi karibuni katika mikoa ya Tanga na Morogoro.

0 comments: