Tuesday, May 14, 2013

GODBLESS LEMA ASAKWA NA POLISI WA U.K KWA KOSA LA KUMBAKA FLORA BAHATI LYMO

Leo  asubuhi  tuliweka  habari ya  mwanadada Flora Bahati Lymo anayedai kubakwa  na  mbunge.....
Taarifa  hiyo  ilinukuliwa  katika  gazeti la Uwazi, toleo la leo tarehe 14 may 2013....Ni taarifa  iliyozua  utata mkubwa. 
Unaweza kuisoma habari hiyo kwa kubofya hapa  
Kwa mdomo wake mwenyewe, mwanamke huyo ameamua kufunguka   mchana  huu na  kudai  kuwa  mbunge  huyo  ni GODBLESS LEMA.....
Ifuatayo  ni  kauli yake  aliyoitoa  katika  blog yake..

0 comments: