Tuesday, April 2, 2013

TASWIRA MBALIMBALI ZA MAKAMUZI YA TMK FAMILY NA TMK HALISI NDANI YA DAR LIVE


Bi. Cheka akikamua sambamba na Mhe. Temba.
Mhe. Temba akiwapa hi fans wake.
Juma Kassim Nature 'Kiroboto' nae akisema na wanae.
Mashabiki wakiwa wamekolea na shoo za Dar Live.
TMK Halisi mzigoni.
TMK Family wakilishambulia jukwaa.
Juma Nature 'Sir Nature' akiwapagawisha mashabiki wake.
Profesa J akiwapa raha mashabiki.
Inspekta Haroun wa Gangwe Mob naye alikuwepo kutoa burudani.
Malkia wa mipasho nchini, Khadija Kopa, akiwapa raha mashabiki.
Chegge kutoka TMK Family akionyesha cheche zake.
KR Mullar wa TMK Halisi akimwaga nyuki.
...Mapanga shaaa...
...Ilikuwa ni full burudani ndani ya viunga vya Dar Live.
DJ JD akimtangaza Juma Nature kuwa ndiye kinara wa Temeke.
...Mikono juuuu kwa Sir Nature!

0 comments: