Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Waziri Mkuu wa Denmark Mhe. Hell
Thorning-Shmidt katika dhifa ya kitaifa aliyomwandalia Ikulu jana usiku
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi ya kinyago cha ‘Shetani, Waziri
Mkuu wa Denmark Mhe. Hell Thorning-Shmidt wakati wa dhifa ya kitaifa
aliyomwandalia Ikulu jana usiku Waziri
Mkuu wa Denmark Mhe. Hell Thorning-Shmidt akifurahia zawadi ya kinyago
cha ‘Shetani’ alichopewa na mwenyeji wake Rais Jakaya Mrisho Kikwete
jana usiku Ikulu
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akigonganasha glasi ya kutakiana afya njema
na Waziri Mkuu wa Denmark Mhe. Hell Thorning-Shmidt katika dhifa ya
kitaifa aliyomwandalia Ikulu jana usiku.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri Mkuu wa Denmark Mhe. Hell
Thorning-Shmidt wakiangalia ngoma za utamaduni za kundi la JKT katika
dhifa ya kitaifa aliyomwandalia Ikulu jana usiku
0 comments:
Post a Comment