Meneja
Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando (kulia) akimkabithi mshindi wa
mwenzi January wa promosheni ya Amka millionea bi Agnes Hassan Chakame
mfano wa hundi ya shilingi million 15 baada ya kuibuka mshindi wa
promosheni ya Amka millionea na Airtel na kujishindia kitita cha
shilingi million 15. Agnes ni Mkulima na mkazi wa Rufiji mkoa wa pwani.
Akishuhudia ni Afisa uhusiano wa Airtel Jane Matinde
Afisa
uhusiano wa Airtel Jane Matinde akimkabithi mshindi wa mwenzi January
wa promosheni ya Amka millionea bi Agnes Hassan Chakame mfano wa hundi
ya shilingi million 15 mara baada kuamka mshindi wa promosheni ya Amka
millionea na Airtel na kujishindia kitita cha shilingi million 15. Agnes
ni Mkulima na mkazi wa Rufiji mkoa wa pwani. Promosheni ya Amka
millionea bado inaendelea ili kujiunga andika neno SHINDA AU MILLIONEA
kwenda namba 1559
Mshindi wa mwenzi January wa promosheni ya Amka millionea bi
Agnes Hassan Chakame akionyesha mfano wa hundi ya shilingi million 15
mara baada kuamka mshindi wa promosheni ya Amka millionea na Airtel na
kujishindia kitita cha shilingi million 15. Agnes ni Mkulima na mkazi wa
Rufiji mkoa wa pwani.
0 comments:
Post a Comment