Monday, August 12, 2013

GARI NA BAJAJ ZAGONGANA KINONDONI

Bajaj ilivyogongwa.
Inavyoonekana kwa chini.
Dreva wa Bajaj akilia kwa uchungu.…
Bajaj ilivyogongwa.
Inavyoonekana kwa chini.
Dreva wa Bajaj akilia kwa uchungu.
Wananchi wenye hasira wakimsulubu dereva Suzuki kwa kupita eneo lisilo lake.
Askari akimuokoa dereva  kutoka kwenye kipondo.
.Mashuhuda  wamelizingira gari lililosababisha ajali.
Dereva wa Bajaj akisaidiwa na Wasamaria Wema kupelekwa hospitali.
8.Mmoja wa Wasamaria Wema akimweka vizuri dereva wa Bajaj.
...Akiangalia mkono wake jinsi alivyoumia.
Hiki ni kiatu cha abiria wa Bajaj ambaye hakueleweka alipoelekea baada ya ajali hiyo.
GARI aina ya Suzuki namba SM 4726 mali ya Manispaa ya Kinondoni imegongana uso kwa uso jioni hii na Bajaj yenye namba za usajili T 761 CKR kwenye bonde linalounganisha Kinondoni na Magomeni, Jijini Dar es Salaam.

PICHA: RICHARD BUKOS NA ISSA MNALLY GPL

0 comments: