Wednesday, July 17, 2013

DROO YA KWANZA YA AIRTEL YATOSHA YAFANYIKA

Meneja Uhusiano wa Airtel  Bw. Jackson Mmbando akionyesha waandishi wa Habari (hawapo pichani) jinsi droo ya Airtel Yatosha inavyochagua mshindi wa kila siku wakati wa droo ya kwanza ya promosheni hiyo ya Yatosha iliyotoa jumla ya washindi 7 toka mikoa mbalimbali, katikati anaefuatilia droo hiyo ni  Msimamzi wa  bodi ya michezo ya Kubahatisha Tanzania Bw. Mrisho Milao na Meneja Masoko wa Airtel Bi. Aneth Muga wa kwanza kulia. Droo ya Airtel Yatosha imetoa jumla ya washindi 7ambapo kila mmoja amejishindia shilingi milioni moja.…

Meneja Uhusiano wa Airtel  Bw. Jackson Mmbando akionyesha waandishi wa Habari (hawapo pichani) jinsi droo ya Airtel Yatosha inavyochagua mshindi wa kila siku wakati wa droo ya kwanza ya promosheni hiyo ya Yatosha iliyotoa jumla ya washindi 7 toka mikoa mbalimbali, katikati anaefuatilia droo hiyo ni  Msimamzi wa  bodi ya michezo ya Kubahatisha Tanzania Bw. Mrisho Milao na Meneja Masoko wa Airtel Bi. Aneth Muga wa kwanza kulia. Droo ya Airtel Yatosha imetoa jumla ya washindi 7ambapo kila mmoja amejishindia shilingi milioni moja.
Meneja Uhusiano wa Airtel  Bw. Jackson Mmbando akiongea na moja ya washindi wa promosheni ya Airtel yatosha mara baada ya kuibuka mshindi katika droo ya wiki ya kwanza inavyochagua mshindi wa kila siku wakati wa droo ya kwanza ya promosheni hiyo ya Yatosha iliyotoa jumla ya washindi 7 toka mikoa mbalimbali, katikati anaefuatilia droo hiyo ni  Msimamzi wa  bodi ya michezo ya Kubahatisha Tanzania Bw. Mrisho Milao na Meneja Masoko wa Airtel Bi. Aneth Muga wa kwanza kulia. Droo ya Airtel Yatosha imetoa jumla ya washindi 7 ambapo kila mmoja amejishindia shilingi milioni moja.

0 comments: