Thursday, May 2, 2013

SHEREHE ZA MEI MOSI ZILIVYOFANA MKOANI SHINYANGA

 Burudani za ngoma za asili za Kisukuma na nyimbo za taarab kutoka kwa walimu zilifanikisha vilivyo sherehe za Mei Mosi mkoani Shinyanga jana.…
 Burudani za ngoma za asili za Kisukuma na nyimbo za taarab kutoka kwa walimu zilifanikisha vilivyo sherehe za Mei Mosi mkoani Shinyanga jana.
 Mwenyekiti wa TUICO mkoa wa Shinyanga, Bw. Fue Mrindoko akimkaribisha Mhe. Ali N. Rufunga kuzungumza na wafanyakazi waliofurika katika uwanja cha Jamhuri mjini Kahama.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Ally Rufunga akihutubia wafanyakazi jana katika uwanja wa Jamhuri wilayani Kahama.
 Maandamano ya wafanyakazi yakiongozwa na bendi wakati wakipita mbele ya mgeni rasmi, mkuu wa mkoa wa Shinyanga, Mhe. Ally N. Rufunga jana katika uwanja wa Jamhuri Wilayani Kahama sherehe hizo zilipofanyika kimkoa.
(Picha na Magdalena Nkulu, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Shinyanga)

0 comments: