Tuesday, April 16, 2013

VIGOGO WIZARA YA ARDHI KORTINI KWA UBADHIRIFU

Watuhumiwa  hao wakiwa  mahakamani.
 Simoni Lazaro (kushoto) akiwa na mtuhumiwa mwenzake, Gerald Mango.
MAOFISA watatu waandamizi kutoka Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi  leo wameburuzwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu tuhuma za ufujaji wa pesa za serikali zaidi ya milioni 200.…
Watuhumiwa  hao wakiwa  mahakamani.
 Simoni Lazaro (kushoto) akiwa na mtuhumiwa mwenzake, Gerald Mango.
MAOFISA watatu waandamizi kutoka Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi  leo wameburuzwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu tuhuma za ufujaji wa pesa za serikali zaidi ya milioni 200.
Charles Kijuba akikwepa kamera mahakamani.
Watuhumiwa hao ni   Simon Lazaro ambaye alikuwa ni Kaimu Mkurugenzi wa  Mipango na Sera, Gerald Mango,  Mkuu wa Tume ya Taifa ya Matumizi ya Ardhi , na  Charles Kijuba, Kaimu Mhasibu Mkuu.
Watuhumiwa hao wamekana mashitaka na mahakama hiyo imesema kuwa dhamana iko wazi .

0 comments: