Tuesday, April 16, 2013

SIMU NUSURA IWATOE ROHO

Wakikunjana huku Kila mmoja akidai simu ni yake
Hapa wakivutana kuelekea kule walikoiba simu
Vijana wawili walikutwa wakibishana baada ya kushutumiana kuzulumiana simu ambayo waliiba kwa mmpita njia mmoja maeneo ya Bamaga jijini Dar Es Salaam.

0 comments: