Saturday, March 30, 2013

PINDA ATEMBELEA GHOROFA LILILOPOROMOKA DAR

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwasili leo katika jengo lililoporomoka jana
Kamanda Suleiman Kova akimpa maelezo Mh. Pinda na viongozi wengine
Mtunzi Maarufu Eric Shigongo (kushoto) akiwasili eneo la…
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwasili leo katika jengo lililoporomoka jana
Kamanda Suleiman Kova akimpa maelezo Mh. Pinda na viongozi wengine
Mtunzi Maarufu Eric Shigongo (kushoto) akiwasili eneo la tukio
Shigongo akijionea maafa yaliyotokea baada ya kudondoka kwa jengo hilo
Shigongo akisaidiana na waokoaji wengine kutoa kifusi
Wananchi wa jiji la Dar es Salaam wakiangalia jengo la gorofa 16 lililodondoka, jana asubuhi.
Profesa Ibrahim Lipumba akizungumza na waandishi wa habari baada ya kushuhudia maafa hayo.
Kamanda wa Polisi Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari.

0 comments: