Friday, March 22, 2013

NANI ANASTAHILI KUTWAA TUZO YA 'WOMAN OF THE YEAR' ? TUMA JINA LA MWANAMKE UNAYEDHANI ANAFAA

Mtandao wa Global Publishers umeaandaa tuzo kwa mwanamke bora wa mwaka 'WOMAN OF THE YEAR' katika sehemu zifuatazo: Siasa, Biashara, Jamii, Utawala na Haki za Binadamu. Ili kushiriki, tuma jina la mwanamke unayeona anafaa kutwaa tuzo hii katika sehemu ya maoni.

 
NANI MFALME WA TEMEKE, TMK HALISI AU TMK FAMILY?




SHILOLE, BABY MADAHA WAFUATA NYAYO ZA WEMA

 

Na Gladness Mallya

WAREMBO wawili wanaotesa katika soko la muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha na Zuwena Mohamed ‘Shilole’ wameamua kufuata nyayo za Wema Sepetu kwa kunyoa nywele na kuonekana katika muonekano mpya.
Wema.
Akizungumza na paparazi wetu, Shilole ambaye amenyoa nywele staili ya kiduku alisema ameamua kufanya bhiv yo ili kuwa na muonekano wa tofauti kwani watu wameshamzoea kila siku kumuona na mawigi na rasta.…
Kwa upande wa Baby Madaha alisema ameamua kubadilisha mfumo wa maisha kuanzia nywele hadi mavazi kwani huu ni mwaka mpya hivyo kutoka na staili mpya.
Hivi karibuni Wema alikuwa wa kwanza kutangaza kuwa na muonekano tofauti kwa kutupia picha zake mtandaoni zilizomuonesha akiwa amenyoa.
Madaha.

0 comments: