Tuesday, March 5, 2013

Kiwanda cha sukari cha Mahonda visiwani Zanzibar kuzalisha Tani 400 za Sukari safi ikiwa ni sawa na Tani 40 kwa siku.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idd akiangalia waya wa umeme aina ya shaba ambao amezuia mauzo yake hadi uongozi wa kiwanda cha sukari utapokaa pamoja na Wizara ya fedha kufikia maamuzi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akiuagiza Uongozi wa Kiwanda cha sukari Mahonda kukaa pamoja na Wizara inayosimamia Fedha Zanzibar ili kufikia mwafaka wa matumizi ya waya wa umeme wa aina ya shaba ambao tayari ulikuwa umeshauzwa.  
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitembelea kiwanda cha sukari Mahonda akiwa pamoja na Uongozi wa Kiwanda hicho. Picha na Hassan Issa –Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar

0 comments: