Sunday, July 7, 2013

BONGO FLEVA WAICHAPA BONGO MUVI KWA PENALTI 2-1



Nahodha wa Bongo Fleva, Hamis Baba 'H Baba' akipokea kombe kutoka kwa Mhe. William Ngeleja.
Bongo Fleva wakisherehekea ushindi wao.
Bongo Muvi…
Nahodha wa Bongo Fleva, Hamis Baba 'H Baba' akipokea kombe kutoka kwa Mhe. William Ngeleja.
Bongo Fleva wakisherehekea ushindi wao.
Bongo Muvi baada ya kichapo.
Timu ya Bongo Fleva imeibuka kidedea kwa kuichapa Bongo Muvi mabao 3-2 katika mchezo wao wa leo kwenye Tamasha la Matumaini 2013. Mpaka filimbi ya mwisho inapulizwa mabao yalikuwa 1-1 ndipo zikaamriwa penalti na Bongo Fleva kuibuka kifua mbele kwa penalti 2-1.

0 comments: