Saturday, May 18, 2013

YANGA YAIGONGA SIMBA 2-0, YATWAA KOMBE LA VPL


Wachezaji wa Yanga SC wakishangilia na kombe lao baada ya mechi dhidi ya Simba SC.
Timu ya Yanga leo imewaadhibu watani wao wa jadi, Simba SC baada ya kuwalaza kwa bao 2-0  katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabao ya Yanga yamefungwa na Didier Kavumbagu na Hamis Kiiza. Baada a mchezo huo, Yanga SC ambao ni mabingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom mwaka huu, walikabidhiwa kombe lao.

0 comments: