Wednesday, May 29, 2013

HIVI NDIVYO MAMA DUDE ALIVYOZIKWA


Jeneza lililobeba mwili wa marehemu.
Mwili ukipelekwa makaburini.…
Jeneza lililobeba mwili wa marehemu.
Mwili ukipelekwa makaburini.
  Dude (aliyesimama) akiwa katikati ya waombolezaji.
Umati wa wanaume waliohudhuria kwenye msiba huo ukiwa nyumbani kwa mama Dude, Ilala, Dar.
  Wasanii wa filamu, Mzee Chillo na Cloud (waliokaa chini wamevaa baragashia) wakijadiliana jambo.
  Kala Jeremiah naye alikuwepo (aliyevaa kofia nyekundu iliyochanganyika na nyeusi).
Wasanii wa filamu kwa upande wa wanaume.
    Wasanii wa filamu kwa upande wa wanawake.
MAMA wa msanii wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’, marehemu Mwadodo Ramadhan ‘Bi. Dodo’ leo amezikwa katika makaburi ya Malapa yaliyopo Buguruni-Malapa jijini Dar ambapo mazishi hayo yamehudhuriwa na watu kibao wakiwemo wasanii wa filamu, vichekesho na wa Bongo Fleva. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Amen!

0 comments: