Tuesday, April 30, 2013

MVUA YASABABISHA MAFURIKO JIJINI DAR LEO

Hapa ni barabara iliyo jirani na jengo la Tume ya Sayansi na Teknolojia Kijitonyama.
Pikipiki hizi zipo karibu na stendi ya basi Mwenge jijini Dar ambazo zimezungukwa na maji na mafundi kukimbia eneo hilo kutokana na mvua kubwa iliyonyesha. Wenye pikipiki hizi wangejua kuwa mali zao zimemezwa na maji, wangelia!…
Hapa ni barabara iliyo jirani na jengo la Tume ya Sayansi na Teknolojia Kijitonyama.

0 comments: