Na Gladness Mallya
MAMA mzazi wa aliyekuwa msanii wa muziki na filamu Bongo, marehemu
Hussein Ramadhan Mkieti ‘Sharo Milionea’, Bi. Zainabu Mkieti amefunguka
kuwa kwa sasa anaanza kufuatilia haki za mwanaye kwenye kampuni
alizokuwa anafanya nazo kazi kwani tayari ameshafungua mirathi.
Akichezesha taya na paparazi wetu kwa njia ya simu akiwa jijini
Tanga, Mama Sharo alisema tayari ameshafungua mirathi na msimamizi ni
mama mkubwa wa Sharo anayejulikana kwa…
0 comments:
Post a Comment