Sunday, March 3, 2013

KITENDO CHA IRENE UWOYA KUYAANIKA " MAKALIO YAKE" NI SAWA NA KUWATUSI MASHABIKI WAKE

Huu  ni  upotofu  mkubwa  wa  maadili  unaoendekezwa  na  hawa  wanaojiita  MASTAA.....

Kumbukumbu  zangu  zinaniambia  kuwa  Uwoya  ni  mzazi  wa  mtoto  mmoja  ambaye  walizaa  na Ndikumana  na hatimaya  wakaachana  baada  ya  kushindana  kitabia...

 
 Swali  la  kujiuliza  ni  kwamba, Anajisikiaje  kuyaanika  matako  yake  kwa  mtoto  wake  wa  kumzaa???...Atajenga  msingi  upi  kwa  mtoto  wake  akikua????.....

Achilia  mbali  mtoto  wake, vipi  juu ya  
wazazi wake, wadogo  zake, shemeji zake na  ndugu  na  jamaa???...

Irene jitambue.....umri  umeenda  sasa...unayoyafanya  hayaendani  na umri  wako.....


Umaarufu  hauji kwa  kukaa  uchi.....Wapo  akina  Lady  jaydee, Monalisa....Ni wasanii  maarufu  pengine kuzidi hata wewe....kwa nini  usiige kutoka  kwao


Kitendo  hiki  ni  sawa  na  kuwatusi   watazamaji  wa  filamu  zako



 

0 comments: